Watu 4 wajeruhiwa, magari 24 yaharibiwa kituo cha mabasi Ubungo...
by ITV TANZANIA
Watu wanne wamejeruhiwa,huku magari madogo zaidi ya 24 ya watu binafsi yakiharibiwa vibaya katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi za jirani cha Ubungo jijini Dar-es-salam baada ya kuangukiwa na ukuta.
No hay comentarios:
Publicar un comentario