Mwigulu ni Mzushi
by CHADEMA tv
Katibu Mwenezi wa Kata ya Saranga Bw. Perfect Mwasiwelwa ameibuka na kukanusha taarifa aliyoitoa Naibu Katibu Mkuu wa CCM Taifa Mwigulu Nchemba kuwa yeye amehamia CCM. Bw.Perfect amesema aliyejitambulisha Jukwaani si yeye na inaelekea amepandikizwa kwa maslahi ya Mwigulu mwenyewe.
No hay comentarios:
Publicar un comentario