Tanzania yatupilia mbali ombi la kuuza pembe za ndovu
by Standard Group Kenya
Serikali ya Tanzania imetupilia mbali ombi lake la kutaka ruhusa ya kuuza pembe za ndovu na bidhaa zake kwenye mkutano ujao wa 'cites' utakaoandaliwa mwezi machi, mjini bangok, thailand. Ombi la tanzania lilikuwa limeleta hali ya mshike mshike kati ya serikali za Kenya na Rwanda ambazo zinapinga kuuzwa kwa pembe za ndovu pamoja na bidhaa zake, na huenda ingalihujumu uhusiano wa mataifa hayo jirani na Tanzania kwenye harakati za kuhifadhi ndovu
Watch KTN Streaming LIVE from Kenya 24/7 on http://www.ktnkenya.tv
No hay comentarios:
Publicar un comentario