Kamati ya Troika yakutana jijini Dar es Salaam.
by ITV TANZANIA
Kamati ya siasa ulinzi na usalama ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika- Troika imeendelea na msimamo wa kumtaka rais wa serikali ya mpito ya Madagasca Bwana Andry Rajolina kutogombea katika uchaguzi mkuu huku kiongozi huyo akiomba kujadiliana na wenzake.
No hay comentarios:
Publicar un comentario